MUSALIA MUDAVADI AKUBALI KUSHINDWA URAISI KENYA


1 3b61f
Ametangaza kukubali kushindwa,amewapongeza wanachama wa muungano wao waliochaguliwa ,na ameomba Raila Na Uhuru wafanye kila kinachowezekana kutunza amani na utulivu na kujizuia kutoa kauli zinazoweza kuleta utata.na ametoa wito maalumu kwa tume ya uchaguzi kutofanya kitu chochote kitakacholeta mkanganyiko.
Previous Post Next Post

Popular Items

Kenya katika hatari ya kupata Ebola

Picha: Soggy Doggy Aongeza Familia