DKT. HUVISA AONGOZA SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA MAZINGIRA BARANI AFRIKA KATIKA VIWANJA VYA TANGANYIKA POCKERS DAR ES SALAAM


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dkt.Terezya Huvisa akiwa hutubia Wananchi wa Wilaya ya Kinondoni Wakati Sherehe za Kuadhimisha Siku ya Mazingira Barani Afrika Sherehe hizo  zimefanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika  Packers Kawe Jijini Dar es Salaam leo.
Mawaziri wa Nchi  Katika Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan na Wa mazingira  Dkt. Terezya Huvisa, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Chalers Kitwanga na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Sar es Salaam Said Meck Sadiki wakifanya Usafi Kandokando Mwabarabara ya Kawe Wakati wa Kuadhimisha Siku ya Mazingira Barani Afrika Sherehe hizo zimefanyika kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meek Sadiki akifanya Usafi  Wa jiji katika Barabara ya Kawe kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Wakati wa Kuadhimisha Siku ya Mazingira Barani Afrika. Kulia Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dk. Julius Ningu.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Wakifanya Usafi Kuadhimisha siku ya Mazingira Barani Afrika kwenye Viwanja vya  Tanganyika Packers Kawe Wilaya ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam.[Picha na Jr Botea].

Previous Post Next Post

Popular Items