WAZIRI HUVISA TEREZYA ATEMBELEA KIWANDA CHA BIA CHA SERENGETI



DSC03424
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akionyeshwa Mfumo wa Maji Taka na Meneja Mazingira Bw. Dominick Mariki wakati  Waziri alipofanya Ziara ya Kutembelea Kiwanda cha  Bia cha Serengeti Breweriers cha  Jijini Dar es Salaam kuangalia mazingira katika Mtaa wa Chamwenyewe Chango’mbe jijini Dar es salaam.
DSC03451
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akimsikiliza Bi. Mwaka Washokela kuhusu hali ya mazingira katika Kiwanda cha Bia cha Seregeti  Mtaa wa
Chamwenyewe, Changmbe Jijini Dar es Salaam.
DSC03471
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Terezya Huvisa akimsikiliza Operesheni Meneja wa Kiwanda cha Bia cha Serengeti Shekhor Mokosare, Waziri  alifanya  Ziara ya kukagua na kuangalia  hali ya  Mazingira katika  Kiwanda cha Bia cha Sereneti cha Jijini Dar es Salaam
Previous Post Next Post