Mh Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Kituo cha Kijiji cha Matumaini mjini Dodoma ,mara baada ya kutoa msaada wa Luninga bapa (Flat Screen Televition) katika kituo hicho kinacholea watoto yatima kulia kwa waziri mkuu nimkuu wa kituo hicho Father Vicent Boseri na anayefuatia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Mh. Hawa Ghasia (Picha na Godfrey David)
Mh Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na viongozi wa Kituo cha Kijiji cha Matumaini mjini Dodoma ,mara baada ya kutoa msaada wa Luninga bapa (Flat Screen Televition) katika kituo hicho kinacholea watoto yatima kulia kwa waziri mkuu ni
mkuu wa kituo hicho Father Vicent Boseri na anayefuatia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa (TAMISEMI) Mh. Hawa Ghasia
(Picha na Godfrey David)
