SPIKA MSTAAFU WA BUNGE LA TANZANIA SAMWELI SITTA ATOA MAONI KATIBA MPYA


CRC-SAMUEL SITTA1 2e273
Mh Samuel Sitta akitoka kutoa maoni Katiba Mpya
CRC-SAMUEL SITTA3 17587
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Waziri wa Afrika Mashariki Mhe. Samwel Sitta akitoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya kwa Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano baina yao katika ofisi za Tume jijini Dar es Salaam jana (jumatatu januari 21, 2013). Kushoto ni Mjumbe wa Tume Bi. Maria Kashonda.

Previous Post Next Post