Picha: Huu ndio mjengo wa Kanye West na Kim Kardashian unaouzwa $11 million


Rapper Kanye West na mkewe Kim Kardashian wameliweka sokoni jumba lao la kifahari lililoko Los Angeles, Marekani walilolinunua mwaka jana.



Kimye walinunua jumba hilo January 2013 kwa $9 million na kutumia zaidi ya mwaka mzima kufanya ukarabati ambao umeishia njiani, na sasa wameamua kuiuza kwa $11 million ambayo ni zaidi ya shilingi bilioni 18.



Kimye waliamua kununua mjengo mwingine ambao uko karibu na nyumba ya mama yake na Kim kwa $20 million.

Tazama picha za mjengo huo uliopo sokoni kwa sasa..










Previous Post Next Post

Popular Items

EXPENSIVE THING OF THE DAY

New Music: Blue - Pesa