Kutana na kipenzi cha roho cha Proffesa Jay, Black Rhyno amewahi kuoa kumzidi kaka yake Professor J lakini hiyo haimaanishi kuwa Mchawi huyo wa Rhymes hana mke mtarajiwa.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgn98QLpM81CUKaja1kRhL9RD3W94Uwbql0rC9L6e80gk-rgssh5p-c5JyYMfTMjgIm7TwldItq0oxPLxUWWDjr8E65Kt61yjUW_8aCN6h6xDt8e6pQsJ3ML3cLxS7_CXpAeYgUfeS-ZZQ/s1600/10616801_739013806157461_1892671967_n.jpg)
Kupitia Instagram, Professor J amemweka wazi mwanamke anayeweza kushika wadhifa wa Mrs Joseph Haule.
“OF COURSE ni Baba LISA na Mama LISA. …. What more can I SAY?? #MWANALIZOMBE,” ameandika Professor kwenye picha hiyo juu.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgn98QLpM81CUKaja1kRhL9RD3W94Uwbql0rC9L6e80gk-rgssh5p-c5JyYMfTMjgIm7TwldItq0oxPLxUWWDjr8E65Kt61yjUW_8aCN6h6xDt8e6pQsJ3ML3cLxS7_CXpAeYgUfeS-ZZQ/s1600/10616801_739013806157461_1892671967_n.jpg)
Kupitia Instagram, Professor J amemweka wazi mwanamke anayeweza kushika wadhifa wa Mrs Joseph Haule.
“OF COURSE ni Baba LISA na Mama LISA. …. What more can I SAY?? #MWANALIZOMBE,” ameandika Professor kwenye picha hiyo juu.