Ethiopia yachukua taji la Miss Afrika USA, Mshiriki kutoka Tanzania 'Joy Kalemera' ashika nafasi ya nne

Ethiopia wachukua taji la miss Afrika USA, Mshiriki kutoka Ethiopia akifurahia taji la kuwa Miss Africa katika mashindano hayo yaliyofanyika Rockville, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo Mhe. Balozi Liberata Mulamula, Balozi wa Tanzania nchini Marekani. 


Mshiriki wa Tanzania, Joy Kalemera ameshika nafasi ya 4 kati ya washiriki 20 walioingia fainali hizo.




Washiriki watano waliopata nafasi ya kuingia tano bora kutoka kushoto ni Miss Tanzania aliyeshika na 4, Miss Uganda aliyeshika na 2, Miss Ethiopia aliyeshinda, Miss Guinea aliyeshika namba 3 na Miss Nigeria aliyeshika namba 5.


Washindi namba 2 mpaka 4 wakiangalia Miss Ethiopia akivishwa taji, kushoto ni miss Cameoon aliyekua Miss Africa USA msimu uliopita.


Washiriki wote 20 katika picha ya pamoja.



Miss Ethiopia akipata picha ya pamoja na washindi namba 2 na 3 ambaye ni Miss Uganda na Miss Guinea.




Miss Ethiopia katika picha ya pamoja na mshindi namba 2 Miss Uganda.

Miss Ethiaopia akipata picha na wageni akiwepo Mhe. Balozi Liberata Mulamula.
Kwa picha zaidi bofya
Previous Post Next Post

Popular Items