Lulu amkumbuka Kanumba kwa Ujumbe huu...

Leo (April 7), ni miaka miwili tangu afariki Steven Kanumba, muigizaji aliyeacha pengo kubwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.




Aliyekuwa mpenzi wake na muigizaji aliyeshirikiana nae katika kazi ya uigizaji wa filamu tangu akiwa mdogo, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amepost video yenye picha kadhaa za Kanumba na za kwake na ameandika ujumbe maalum kwa ajili yake.




"Bado siamini Kama mwaka wa pili unakatika bila kukuona wala kukusikia baba…!Ninaamini bdo tupo wote kiroho na Ninaamini zaidi nafsi yako huko ilipo inasimama kunitetea na kunipigania,inaweza kunichukua miaka na miaka kukuelezea….u still liv in me daddy and your dearly missed….R.I.P daddy angu"


Previous Post Next Post