Picha: Clouds TV International ipo jengo moja na CNN Abu Dhabi, UAE

Watangazaji wa Clouds FM, katika kipindi cha Jahazi ,Gerald Hando, Ephraime Kibonde na wengine wamealikwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga kwenda kushuhudia mradi mpya wa kampuni hiyo, Clouds TV International jijini Abudhabi katika Muungano wa Falme za Kiarabu, UAE.

Kibonde na Hando wakiwa kwenye studio za Clouds TV International jijini Abu Dhabi
Kibonde na Hando wakiwa na mtangazaji wa CNN Abu Dhabi
Mtangazaji wa CNN aliyepiga picha na Kibonde na Hando
Studio za kituo hicho kitakachokuwa kikionekana dunia nzima zipo kwenye jengo moja zilipo studio za kituo cha CNN tawi la Abu Dhabi.

Kibonde, Kusaga na Hando


Source:Bongo5
Previous Post Next Post