Mbwa wa Gharama Zaidi Duniani: Anunuliwa kwa Tsh Billioni 3.2 Huko China.

Kama ulikuwa aujawai kusikia kuwa kuna uwezokano wa mbwa ambao wanaweza kuuzwa mpaka kiasi cha tsh billioni 1 na kundelea soma hapa kwani mbwa hawa wapo na wanapatikana huo china.

Huko nchini China mbwa amenunuliwa kwa dola milioni 2 (sawa na zaidi ya shilingi bilioni 3.2) na kufanya kuwa mbwa aliyenunuliwa kwa bei kubwa zaidi.


Mbwa wa huko nchini China amenunuliwa kwa dola milioni 2 (sawa na zaidi ya shilingi bilioni 3.2) na kufanya kuwa mbwa aliyenunuliwa kwa bei kubwa zaidi.





Previous Post Next Post

Popular Items