Picha: Johari avuta usafiri mpyaa, ni kitu cha mark X

Mwaka 2014 umeanza vizuri kwa mwanadada Johari Chagula baada ya hivi karibuni kuvuta usafiri mpya kabisa aina ya Mark X ambayo thamani yake inasemekana kuwa zaidi ya Tshs. Millioni 25 za kibongo. 

Tazama picha mbili za mwanzo hapo chini zikimuonyesha Johari na Usafiri wake aina ya Mark X

Endelea kupata Habari Zaidi Kila siku Kutoka BONGO61.COM  Kwa Kijiunga Hapa Buree!.

 Johari akiwa kapozi katika usafiri wake mpya aina ya mark X




Picha:Instagram
Previous Post Next Post