UMEISOMA HII... MREMBO AINADI BIKIRA YAKE KWA TSH MILIONI 43 CASH

Kama wewe upo single na Uwezo wa kifedha unao unaweza kumudu hii..., Una shilingi milioni 43 za kuchezea? Basi mrembo huyu wa Urusi, anakupa fursa ya kulimenya ganda lake vyovyote utakavyo kwa mkwanja huo.


Mrembo huyo aitwaye Shatuniha ameinadi bikira yake £17,000 sawa na zaidi ya shilingi milioni 43 za Kibongo. Shatuniha, 18, alisema: “Nina shida ya haraka ya hela, hivyo nauza kitu changu cha thamani zaidi ninachomiliki. Niko tayari kukutana na mtu haraka iwezekanavyo, hata kama ni kesho na nipo tayari kuthibitisha kama kweli ni bikira.


Naweza kuja kwenye hoteli pale Predmostnaya Square nikiwa na nyaraka za kuthibitisha ubikira wangu, na mtu ambaye atachukua hela na kuondoka ili nisiingizwe mjini. Mtu huyu ataondoka na hela lakini mimi nitabaki. Pesa inatakiwa kuwa cash tu.”

Hata hivyo tayari, Evgeniy Volnov ameshinda mnada huo kwa kutoa whose £17,514 ili kula mzigo huo

Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA