PICHA: DIAMOND"NDANI YA STUDIO YA DAVIDO TUKIMALIZIA AUDIO YA NUMBER 1 REMIX"


Diamond aliandika ivi kupitia blog yake ya wasafi   "Siku zote sitoacha kumshukuru Mungu kwa kila hatua ninayopiga katika safari yangu ya Music,na sitokutendea haki nisiporudisha shukrani za dhati
kwa wewe shabiki yangu wa kweli unae endele kunipa sapoti inayonifanya nizdi kukaza
kukutengenezea mambo mazuri zaidi..hii ikiwa ni ziara yangu mhimu kabisa nchini Naija,kwa ajili ya kupika kile unachkisubilia kwa hamu,my number one remix na
mwanangu Davido,hii ilikuwa ni jana usiku tukiwa studio,hii ni studio ya Davido iliyopo nyumbani kwake na kikubwa tulichokuwa tunakifanya ni kumalizia kabisa
audio kabla ya kuingia mzigoni kushoot kideo......."


        Davido nyuma ya screen akifanya mambo yake kwa umakini kabisa.....!!!



Team yote hii ni kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa kabisa..Babu tale kwa mbali mwenyewe kamechishaa.....!!!



When Skelewu meet Ngololo..stay tuned..we coming baby..WCB for life

Previous Post Next Post

Popular Items