Rapper The Game ajiunga na Cash Money Records




Nicki Minaj, Drake, na Lil Wayne wamepata labelmate mpya. The Game amejiunga rasmi na familia ya YMCMB.





Tangazo hilo lilitolewa na Birdman kwenye Twitter: “S/O 2MY@thegame Westcoast makit Official.RICHGANG.YMCMBusine$.”
The Game alijibu: @BIRDMAN5STAR time to close the door on these niggas !!!! R$CHGANG.”



Awali rapper huyo wa Compton na mwenye miaka 33, alikuwa amesaini na Interscope Records, ambako aliachia albam tatu ikiwemo ya kwanza, The Documentary, ya mwaka 2005 aliyoitoa kwa ushirikiano G-Unit Records.
Previous Post Next Post