Poppin in Kenya: Nonini aacha kazi ya kutangaza One FM



Msanii wa Genge, Nonini ameacha kutangaza kwenye kituo cha radio cha jijini Nairobi,Kenya, One FM.
954796_10151958999061518_1307040998_n
Akiongea na Anna Peter wa East Africa Radio, Nonini amesema hajaacha kabisa fani hiyo.
“Sijaacha kabisa, hiyo specific station ndio nimetoka. Hiyo kazi fit sana ya radio naweza ifanya na ntaifanya maisha yangu yote,” alisema.

Previous Post Next Post