MSIBA BONGOMOVIES: Mwanadada Zuhura Maftah (Malisa) hatunaye tena!


Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa mwigizaji wa bongo movies Zuhura Maftah  ama  Malisa (Pichani) amefariki dunia leo hii.


Bado hatujaweza kupata taarifa kamili za chanzo cha  kifo chake ila tnafanya juhudi kuweza kuzipata na tutawaletea hivi punde zitakapokuwa tayari.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Previous Post Next Post

Popular Items