Picha: Wachezaji wa NBA Stephen Curry na Hasheem Thabeet wahudhuria Kliniki ya mchezo wa kikapu Dar






Mchezaji wa mpira wa kikapu wa ligi ya NBA ya Marekani,Stephen Curry na mwenzake ambaye ni Mtanzania Hasheem Thabeet leo wameshiriki kwenye Kliniki ya mchezo huo kwenye viwanja vya Don Bosco jijini Dar es Salaam.
DSC_5840
Mchezaji huyo yupo kwenye kampeni ya malaria, Nothing butNets.Net ambapo anashiriki kwa kugawa neti. Akiwa Don Bosco, mwenyeji wa mchezaji huyo na msafara wake alikuwa ni makamu Rais wa shirikisho la mpira wa kikapu nchini, TBF, Phares Magesa.
DSC_5791
Kampeni ya Nothing butNets.Net ni kampeni inayohamasisha matumizi ya chandarua pamoja na kugawa kila nchi anayotembelea pamoja na kufundisha mpira wa kikapu.
Stephen aka Steph ni mchezaji wa timu ya Golden State Warriors akicheza nafasi ya guard ambapo kwenye msimu wa 2012–13 aliweka rekodi ya kufunga mitupo ya point tatu mingi zaidi.
Stephen akigawa Chandarua kwa wanafunzi wa Don Bosco
Stephen akigawa Chandarua kwa wanafunzi wa Don Bosco
Stephan akisain kitabu cha wageni Don bosco
Stephen akisaini kitabu cha wageni Don Bosco, pembeni ni Makamu Rais wa shirikisho la mpira wa kikapu nchini, TBF, Phares Magesa
Stephan alipokelewa na Hashim
Stephan na Hashimu waki show love na fans
Stephen na Hasheem wakishow love na mashabiki
Stephan na Hashimu wakiingia uwanjani
Stephen na Hasheem wakiingia uwanjani

DSC_5765

DSC_5769

DSC_5770

DSC_5772

DSC_5773

DSC_5774

DSC_5776

DSC_5781

DSC_5787

DSC_5788

DSC_5789

DSC_5790

DSC_5791

DSC_5792

DSC_5793

DSC_5794

DSC_5795

DSC_5796

DSC_5797

DSC_5798

DSC_5800

DSC_5804

DSC_5807

DSC_5810

DSC_5811

DSC_5812

DSC_5813

DSC_5814

DSC_5815

DSC_5816

DSC_5817

DSC_5821

DSC_5823

DSC_5828

DSC_5831

DSC_5835

DSC_5836

DSC_5837

DSC_5839

DSC_5840
Stephan akifundisha
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA