Prezzo amdiss Diamond Platnumz on Twitter asema ‘Unfortunately only “diamonds” I know is the ones on ma neck’




It’s about to go down!! 255 vs 254 aka Platnumz vs Bling Bling!! So kumbe majigambo ya Diamond kwenye vyombo vya habari kabla ya Tamasha la Matumaini kufanyika kuhusu kumgalagaza Prezzo kwenye show hiyo hayajampendeza Rapcellency na sasa ameamua kujibu.
page
Prezzo ambaye jina lake halisi ni Jackson Makini alianza kwa kuweka picha ya gazeti inayowaonesha akiwa na Diamond kwenye habari iliyohusu tamasha hilo na kuandika ‘Hahahaha #DomoSeriously????
Prez1
Rapper huyo hakuishia hapo aliweka picha nyingine ya Diamond na kuandika: “U talkin money or u talkin nonsense au anashindana na ndovu kun***a?
Prez2
Mwisho alimalizia kwa kujibu tweet ya mtu mmoja aliyemwambia kuwa huyo ni Diamond kwa kuandika: Unfortunately only “diamonds” I know is the ones on ma neck fam.”


Baada ya beef ndefu na Jaguar, Prezzo anataka beef nyingine kubwa na Diamond?
Previous Post Next Post

Popular Items