VODACOM NA SAMSUNG ZAZINDUA S4 NCHINI TANZANIA






Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Sylvester Manyar (kushoto) akimuonesha mwandishi wa habari wa clouds media Bi.Esther Machangu moja ya teknologia iliyopo kwenye simu aina ya Samsung Galax S4 yenye teknolojia mbalimbali za kisasa ,wakati wa uzinduzi wa simu hizo wateja watakaonunua simu hizo watapata huduma ya bure ya Intaneti ya (5GB) kwa muda wa siku 30 sambamba na waranti ya mwaka mmoja ya matengezo, uzinduzi huo ulifanyika Vodashop Oysterbay jijini Dar es Salaam, Wanaoshuhudia watatu toka kushoto ni Afisa Masoko wa Vodacom Ibrahim Kingozi, Elihuruma Ngowi, Meneja wa Samsung nchini Kishor Kumar.






Baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania na Samsung wakiwazijaribu simu aina ya Samsung Galax S4 iliyosheheni teknolojia mbalimbali za kisasa ,wakati wa uzinduzi wa simu hizo ambapo wateja watakaonunua aina ya simu hizo watapata huduma ya bure ya Intaneti ya (5GB) kwa muda wa siku 30 sambamba na waranti ya mwaka mmoja wa matengezo,simu hizo zitakazokuwa zikipatikana kwenye maduka ya Vodacom nchini.Uzinduzi huo ulifanyika katika duka la Vodacom eneo la Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA