SIZE 8 AANZA KUDHIHIRISHIA WAKENYA ULOKOLE WAKE




SIZE 888
Msanii wa kike ambaye hivi karibuni amejitangaza kuokoka na kuanza kufanya kazi ya kulieneza neno la Mungu Size 8 hivi sasa amejiandaa kutumbuiza katika tamasha lake la kwanza tokea ajitangaze kuokoka kwake.
Size 8 atawapagawisha mashabiki na kibao chake kipya kiitwacho mateke ambacho kimekuwa hit kwa mwaka huu wa 2013 hadi hatua ya kushika nafasi ya kwanza katika chati kali za nyimbo za gospel.

Itakumbukwa kuwa Size 8 alitamka kuwa ataachana na vijivazi hivyo ila ukweli wote ni hapo jioni katika tamasha hilo kubwa na la aina yake.
Previous Post Next Post