UZINDUZI WA TAMASHA LA EXEL WITH GRAND MALT DAR ES SALAAM



Meneja masoko wa kampuni ya bia Tanzania (TBL), Fimbo Buttala akizungumza na wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha la uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha Grand Malt ya kuwashindanisha wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grand Malt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam jana.

Mratibu wa tamasha la Exel With Grand Malt,Victor Ndunguru akiongoza ujumbe wa kukagua timu za mpira wa miguu za Chuo kikuu DUCE na chuo kikuu cha Dar es salaa kwenye bonanza hilo lililoshirikisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha ka uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha Grand Malt ya kuwashindanisha wanafunzi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with Grand Malt,Timu ya chuo kikuu Dar Es Salaam ilishinda kwa 3-1 tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Joh Makini akiwapagawisha wanafunzi wa vyuo mbalimbali vya mkoa wa Dar es salaam kwenye Tamasha ka uzinduzi wa kampeni ya kinywaji cha grandmalt ya kuwashindanisha wanafundi ili kuweza kujinyakulia zawadi mbalimbali ikiwa ni pamoja fedha taslimu ijulikanayo kama Exel with grandmalt, tamasha hilo lilifanyikia katika viwanja vya chuo kikuu Arthi mkoani Dar es salaam.
Previous Post Next Post