
Mama Tunu Pinda akihutubia

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akihutubia katika hafla hiyo.

Mkurugenzi wa Catherine Foundation, Mhe Catherine Magige akihutubia katika hafla hiyo

Mkurugenzi wa Catherine Foundation, Catherine Magige akizungumza na watoto wanaolelewa kwenye Kito cha Matumaini Village kilichopo Dodoma alipokwenda kutoa msaada

Mhe Catherine Magige akicheza na mmoja wa watoto wa kituo hicho

Mkurugenzi wa Catherine Foundation, Mhe Catherine Magige akiwa na mtoto mchanga anaye lelewa katika Kituo cha Matumaini Village mjini Dodoma jana.

Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda na Mkurugenzi wa Catherine Foundation, Mhe Catherine Magige wakizungumza na watoto wanaolelewa kwenye kituo hicho.

Mama Tunu Pinda na Mhe Catherine Magige wakiwa na watoto hao

Mama Tunu Pinda akikabidhi zawadi mbalimbali zilizotolewa na asasi hiyo

Misaada mbalimbali ikitolewa

Mkurugenzi wa Catherine Foundation, Catherine Magige akizungumza na watoto wanaolelewa kwenye Kito cha Matumaini Village kilichopo Dodoma alipokwenda kutoa msaada