![]() |
Kinana akihutubia Wananchi |

.jpg)


Msanii wa muziki wa kizazi kipya ajulikanae kw jina la Abdul Nasib a.k.a Diamond akitumbuiza jukwaani jioni ya leo kwenye hitimisho la mkutano wa chama cha CCM,uliofanyika kwenye uwanja wa Ndege (zamani Sabasaba),Mkoani Morogoro.Uongozi wa Chama hicho ukiongozwa na Katibu Mkuu wake,Ndugu Abdulrahman Kinana wamefanya ziara ya kutembelea wilaya zote saba za mkoa huo kukagua uhai wa chama na maendeleo ya miradi mbalimbali.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, nape Nnauye wakiingia katika Uwanja wa Mkutano wa hadhara wa Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro, leo
.jpg)
Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa CCM kwenye Uwanja wa Kiwanja cha Ndege wa mjini Morogoro, wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Uwanjani hapo.


Umati ukiwa umefurika kwenye mkutano wa CCM uliofanyika leo April 21, 2013 kwenye uwanja wa Kiwanja cha Ndege wa mjini Morogoro.



.jpg)


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na baadhi ya wakazi wa kata ya Kilongo,mara baada ya kuzindua mradi wa maji,kwenye wilaya ya Morogoro mjini mapema leo mchana.Aidha Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini,Mh Mohammed Aziz Abood alisema kuwa hiyo ni sehemu ya mradi wa visima 23 vilivyochimbwa kwenye Manispaa ya mji huo na kwamba visima hivyo vya maji vimegharimu kiasi cha shilingi Milioni 365.