KAIRUKI AFANYA ZIARA NCHINI BANGLADESH



Mheshimiwa Angellah Kairuki (MB), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria akiwa na mwenyeji wake Mhe. Sayid Ashraful Islam, Waziri wa Serikali za Mitaa Maendeleo Vijijini na Ushirika, (Wizara inayoshughulika na Usajili wa Vizazi na Vifo) wakati wa ziara yake nchini Bangladesh kujifunza namna ambavyo nchi hiyo imeweza kufikia asilimia zaidi ya 95 ya usajili wa Vizazi na Vifo.



Mhe. Angellah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe wake wa wataalam kutoka Taasisi za RITA, NIDA, TRA, Serikali za Mitaa, e-Government, Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Ofisi ya Takwimu, Ofisi ya Rais-Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Wenyeji wake.


Mheshimiwa Angellah Kairuki, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria akijibu baadhi ya maswali ya waandishi wa habari wa Bangladesh


Mhe. Angellah Kairuki katika picha ya pamoja na Sir. Fazle Abed, Mwanzilishi na Mwenyekiti wa taasisi ya BRAC alipotembelea Makao Makuu ya BRAC.
Previous Post Next Post

Popular Items

WAKUU WA USALAMA KUHOJIWA KENYA