Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Utumishi wa MCC Bw.Steve Kaufmann,akiongoza ujumbe wa viongozi wa MCC waliofika Ikulu MjiniZanzibar kwa mazungumzo na Rais jana.
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Mkuu wa Utumishi wa MCC
Bw.Steve Kaufmann,kiongoza ujumbe wa viongozi wa MCC waliofika Ikulu
Mjini Zanzibar baada ya mazungumzo na Rais jana.
[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]