DK. SHEIN AFANYA ZIARA MJINI MAGHARIBI, ZANZIBAR



IMG_0680a
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi wa Vikosi vya Ulinzi alipowasili katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi
akiwa katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza juzi.IMG_0688b
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na wafanyakazi katika  Ofisi ya Mkuu
wa Mkoa Mjini Magharibi alipofanya ziara ya Mkoa huo iliyoanza
jana.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.]IMG_0724c
Baadhi ya Viongozi na watendaji wa Idara mbali mbali za
Ofisi za Serikali wakiwa katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa
Mkoa wa Mjini Magharibi,katika mkutano na Rais wa  Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa
katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza jana.[   [Picha na Ramadhan Othman
 IMG_0734c
Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akionesha zawadi aliyopewa na  Mkuu wa  Mkoa
Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis,(katikati) alipofika Ofisini
kwake akiwa katika ziara ya Mkoa huo iliyoanza jana ,(kushoto) Mkuu wa
Wilaya Mjini Abdi Mahmoud Mzee, [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] IMG_0797d
Pichani Ujenzi Skuli ya Sekondari ya Wilaya huko
Mpendae Mjini Zanzibar ukiendelea katika Mkoa wa Mjini Magharibi
,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein,alitembelea ujenzi huo akiwa katika ziara ya Mkoa huo
iliyoanza jana. [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] IMG_0802e
Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,akipata maelezo ya Ujenzi kutoka kwa  Mhandisi wa Ujenzi  wa
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Iddi Khatib,alipotembelea kukagua
Ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Wilaya huko Mpendae Mjini
Zanzibar,akiwa katika ziara ya mkoa Mjini Magharibui iliyoanza jana.
[Picha na Ramadhan Othman,IKulu. ] IMG_0867f
Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka  Mkurugenzi Mkuu
wa Mamlaka ya Maji (ZAWA) DK.Mustafa Ali Garu,alipofika Chumbuni
Kuangalia mradi uchimbaji wa  kisima cha Maji katika eneo hilo akiwa
katika ziara ya Mkoa wa Mjini Magharibi iliyoanza jana.[Picha na
Ramadhan Othman,Ikulu.] IMG_0933h
 Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi na wazee wa
Chumbuni  Wilaya ya Mjini Mkoa Mjini Magharibi, alipofungua kituo cha
Mafunzo ya Kazi za Amali,akiwa katika ziara Mkoa huo,(kulia) Naibu
waziri wa Ulinzi Perera Ame Silima,na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Abadala
Mwinyi Khamis,na (kushoto)Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.Mwinyihaji Makame .[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.] IMG_1048i

Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Hassan Ali
Mbarouk,(kulia) akitoa maelezo kwa Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati alipotembelea kituo
kipya cha Umeme huko Welezo alipokuwa katika ziara ya Mkoa wa Mjini
Magharibi iliyoanza jana.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
IMG_1101k

Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akibadilishana mawazo na Meneja Mkuu wa
Shirika la Umeme Hassan Ali Mbarouk,(wa pili kushoto) wakati
alipotembelea kituo kipya cha Umeme huko Welezo alipokuwa katika ziara
ya Mkoa wa Mjini Magharibi iliyoanza jana.[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]
Previous Post Next Post

Popular Items

Kenya katika hatari ya kupata Ebola

Picha: Soggy Doggy Aongeza Familia