Waziri wa Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo,Dkt. Fenella Mukangara (Mb)akizungumza na Mkurugenzi wa British Council nchini(kulia) Sally Robinson leo alipomtembelea Ofisis kwake jijini Dar es Salaam na kuzungumza masuala mbalimbali ya tasnia ya Utamaduni.
Tags:
Politics