- Adai walimpa ‘Promo’ kijana aliendika matusi na “Bongo Flavor” katika mtihani wake wa Kidato cha Nne Mwaka jana kwa kumfanyia interview katika moja ya vipindi vyake.- Adai kuwa hatua hiyo ya Clouds FM imechangia uandikaji wa matusi kwa watahaniwa wa mwaka huu.Hii ni kwa mujibu wa mtandao wa jamii Forum kupitia Facebook, Endelea kusoma -> http://j.mp/ZfpPur
