WAZEE WA CCM SINGIDA WATETA NA MANGULA


4 827c8
Mangula akizungumza na Wazee wa CCM kutoka mkoa wa Singida, waliofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM,Lumumba Dar es Salaam, kumpa ujumbe maalum wa kuimarisha chama. Kushoto ni Mzee Sumbu Galawa na kulia ni  Alhaj Mahami Rajabu Kundya na  Mujengi Gwao. (Picha zote na Bashir Nkoromo, Uenezi-CCM)

Previous Post Next Post

Popular Items