Makatibu wakuu wa Zanzibar wakiwa katika Semina yapamoja kuhusu Kazi na Wajibu wa Tume ya Sayansi na Teknologia iliyotayarishwa na Tume hiyo huko Makumbusho ya Kasri Forodhani mjini Zanzibar.
Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar