
Rubani huyu alidai kitendo cha kubomolewa nyumba yake ni cha kinyama kwani yeye alikuwa mtumishi wa serikali kama rubani na katika kipindi chote cha utumishi wake hakuwahi hata siku moja kupata ajali hata pancha akiendesha Viongozi kama Marais.

Vitu vikiwa nje 
Kutokana na kuta za nyumba hiyo kuwa ngumu kazi ya ubomoaji ililazimika kuanzia madirishani ili kurahisisha ubomoaji.

Vyombo vilivyokuwa vikitumika upande wa Biashara vikiwa nje.Mgahawa ulikuwa maarufu kama Kwa Mama.


Hizi ndio barua zenye maelezo kamili juu ya sababu ya kubomolewa nyumba hizo na lengo ni nini la Ubomoaji huo.