HomeUncategolized BASI LA BUNDA LAPATA AJALI byNews Tanzania -Thursday, January 10, 2013 0 Basi la Bunda lililokua linatokea Musoma kwenda Mwanza limepata ajali nje kidogo ya Magu eneo la katikati ya Kahangalala na Ihayabuyaga na watu watatu wanahofiwa kufariki katika ajali hiyo na zaidi ya 10 kujeruhiwa. Tags: Uncategolized Facebook Twitter