Picha: Sexy and Lovely Photos za Baby Madaha alipokuwa Nchini Kenya

Katika swala zima la upigaji picha sasa limechukua nafasiyake kutokana na technology kuongezeka na kila mtu kuwa a uwezo ata wa kujipiga self pic 'Selfie" Hii inatokana na asilimia kubwa ya wasanii hutumia smart phone amabazo huwawezesha kupiga selfie popote pale waendapo.



Hivi karibuni Baby madaha lipiga picha hizi alipokuwa nchini kenya chini ya kampuni ya Candy amabayo ndiyo hasa inayosimamia kazi za mwanamuziki huyu 'Baby Madaha' akiwa nchini Baby Madaha alipiga picha hizi chini ya kampuni ya Candy, Kikubwa hasa kilichonivutia ni Jinsi upigaji wa picha hizi na yule photographer aliyepiga picha hizi, amepiga picha katika ustadi wa khali ya juu na kumfanya Baby Madah atoke kama alivyotoka haa chini katika picha hizi..

Tazama Picha hapa chini.....







Previous Post Next Post