Picha:Asha Mandela Ndiye Mwanamke mwenye rasta ndefu zaidi duniani, ni za futi 55



Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata.
article-2396679-1B59DD9C000005DC-682_634x795
Bi. Mandela

article-2396679-1B59DDA0000005DC-270_308x635
Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)

Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe. Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’
article-2396679-1B59DDB0000005DC-499_634x461
article-2396679-1B59DEA0000005DC-646_634x807
article-2396679-1B59DEA4000005DC-808_634x489
article-2396679-1B59DEBB000005DC-310_634x745
Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.
article-2396679-1B59DECC000005DC-415_634x371
article-2396679-1B59DEE8000005DC-561_306x593
article-2396679-1B59DF10000005DC-918_634x552
article-2396679-1B59DF64000005DC-627_308x593
article-2396679-1B59DF68000005DC-263_306x635
article-2396679-1B59DF71000005DC-778_634x579

Add a comment

Previous Post Next Post