DKT. BILAL AFUTURU NA WANANCHI MKOANI ARUSHA


2 ddfc9
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwaongoza baadhi ya wananchi wa mkoani Arusha kuchukua futari, wakati wa hafla ya Futari ya pamoja aliyoiandaa na kufuturu na wananchi hao katika Hoteli ya Naura Mkoani Arusha juzi Julai, 23.
Previous Post Next Post

Popular Items