Exclusive: Wema sepetu na Rado ndani ya filamu mpya



Exclusive: Wema sepetu na Rado ndani ya filamu mpya, ni moto wa kuotea mbali.

Baada ya kufanya vizuri na filamu yake ya maduhu, hatimaye mwigizaji Simon Mwapagata ameanza kutengeneza Filamu yake mpya aliyowashirikisha mastaa mbalimbali akiwemo mrembo kipenzi cha wengi Wema Abraham Sepetu.

Akizungumza katika utengenezaji wa Filamu hiyo unaoendelea maeneo mbalimbali ya jijini Dar es salaam, Rado (Simon Mwapagata) amesema kuwa Filamu hiyo itafanyika mjini Dar es Salaam na baadaye mkoani Tanga.
Ndani ya Filamu hiyo, yupo mwigizaji mwingine mkongwe Deogratious Shija na Sudi…

Previous Post Next Post