PICHA ZA MWISHO ZA GOLDIE ALIVYOENDA KWENYE TUZO ZA GRAMMY MAREKANI WIKI ILYOPITA


MMY MAREKANI WIKI ILYOPITA


 Goldie na CEO Kennis Music,Kampuni ya music aliyokuwa akifanya kazi mpaka anafariki,Kenny Ogungbe.

Hizo ni baadhi ya picha za mwisho ambazo Goldie alizipiga alivyoenda Marekani W/end iliyopita katika Tuzo kubwa duniani za Grammy ambapo Goldie alikuwa ni kati ya Waafrica wachache waliopata bahati  kuhudhuria Tuzo hizo.
 Akiwa na Ciara katika Pre event Party ya Grammy
Akiwa na Chaka Khan.

RIP Goldie!
Previous Post Next Post