Wizara Kuwainua Wachimbaji Wadogo



 Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Mhe. Stephen Masele akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini nchini, uliofanyika mjini Dodoma hivi karibuni.
 Uongozi wa mpito kitaifa wa Chama cha Wachimbaji Wadogo wa Madini mara baada ya kuchaguliwa na
mkutano wao mkuu wa mwaka uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.

 Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo akihutubia Mkutano Mkuu wa mwaka wa
wachimbaji wadogo wa madini uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.
 Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (wa kwanza kushoto), na Naibu wake Mhe. Stephen Masele wakishiriki katika mkutano mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma
Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Profesa Sospeter Muhongo (katikati) katika picha ya pamoja na makamishna wasaidizi wa madini kutoka kanda mbalimbali, mara baada ya kufunga mkutano mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo wa madini uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma.
Previous Post Next Post

Popular Items

PUTIN ATAKA MAREKANI IONESHE USHAHIDI